✨ Je, ndugu wa marehemu wanaweza kutoa fedha za marehemu kutoka mitandao ya simu au benki baada ya kifo ya mpendwa wao? ✨
Jibu ni ndiyo. Ndugu wa marehemu wanaweza kupata fedha zake zilizobaki kwenye M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money, Halopesa, benki au huduma yoyote nyingine ya kifedha ambako marehemu ameacha fedha zake.
Lakini si kwa kwenda tu ofisini na kudai fedha — lazima kwanza mahakama iwateue kama wasimamizi wa mirathi.
📌 Mchakato ni huu:
1️⃣ Ndugu wanafungua Shauri la mirathi mahakamani
2️⃣ Mahakama inateua msimamizi wa mirathi
3️⃣ Msimamizi anapewa nyaraka za usimamizi
4️⃣ Kwa nyaraka hizo, anaweza kwenda benki au kampuni ya simu kudai fedha za marehemu kisheria
⚠️ Bila nyaraka za mahakama, hakuna taasisi ya kifedha inayoruhusiwa kutoa fedha za marehemu.
⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?
Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.
✅ Utakachopata
✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria
✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja
✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua
✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako
✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote
📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri
Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.
💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu
📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo
✅ Airtel Money LIPA: 13970429
✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500
✅ M-Pesa Wakala: 826910
✅ Selcom Lipa: 61122934
✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089
Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa
📩 Baada ya Kufanya Malipo
Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.
💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO+255 628 729 934

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿