Ticker

6/recent/ticker-posts

Zawadi za Uchumba Zinaweza Kudaiwa Kisheria.

 


🔹 Zawadi za Uchumba Kisheria 🔹

Kwa mujibu wa Kifungu cha 71 cha sheria ya ndoa, zawadi za uchumba zilizotolewa kwa masharti ya ndoa kufungwa zinaweza kudaiwa kurudishwa iwapo ndoa haikufungwa.

❌ Lakini zawadi zilizotolewa kwa hiari tu bila sharti la ndoa, haziwezi kudaiwa kurudishwa.

Mfano:

🚗 “Ninakupa gari hili kwa sababu tunafunga ndoa mwezi ujao” gari linaweza kudaiwa kurudishwa.

❤️ “Ninakupa gari hili kwa upendo” gari haliwezi kudaiwa kurudishwa hata ndoa ikishindikana.

👉 Kwa ufupi: Zawadi yenye sharti la ndoa inaweza kudaiwa kurudishwa, ya upendo tu haiwezi.

#SheriaYaNdoa #ZawadiZaUchumba #JunguLaSheria

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni