Ticker

6/recent/ticker-posts

💔 Haki ya Kudai Fidia Baada ya Ahadi ya Ndoa kuvunjika!💍⚖️



💔 Haki ya Kudai Fidia Baada ya Ahadi ya Ndoa kuvunjika!💍⚖️

Kwa mujibu wa Kifungu cha 69 cha sheria ya ndoa, mtu ana haki ya kudai fidia ikiwa mchumba wake amevunja ahadi ya ndoa na kupelekea hasara ya fedha au mali. Hata hivyo, fidia haiwezi kudaiwa endapo ahadi ya ndoa ilitolewa wakati mdaiwa akiwa na umri chini ya miaka 18. Na fidia itatolewa kulingana na kiasi cha hasara iliyopatikana tu na si zaidi ya hapo.

💡 Aidha, hakuna shauri linaloruhusiwa kisheria kufunguliwa kulazimisha kutimizwa kwa ahadi ya ndoa ambayo haijatimizwa.

Shauri la kudai fidia linaweza kufunguliwa hata kwa ahadi za ndoa zilizotolewa nje ya Tanzania lakini kwa kigezo tu kwamba, sheria za nchi hiyo na Tanzania zinakubali.

#AhadiYaNdoa #HakiZangu #Fidia #SheriaTanzania #JunguLaSheria

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni