Ticker

6/recent/ticker-posts

💍 Mume au mke ana haki ya kufungua shauri la madai ya fidia 🏛️ dhidi ya mtu yeyote aliyefanya uzinzi na mwenzi wake wa ndoa

 📜 Kwa mujibu wa Kifungu cha 72 cha Sheria ya Ndoa



💍 Mume au mke ana haki ya kufungua shauri la madai ya fidia 🏛️ dhidi ya mtu yeyote aliyefanya uzinzi na mwenzi wake wa ndoa.


⚖️ Hata hivyo:

🔹 Shauri haliwezi kukubalika iwapo mlalamikaji aliridhia tendo hilo.

🔹 Shauri haliwezi kufunguliwa iwapo fidia tayari imedaiwa kupitia shauri la talaka 💔.

🔹 Shauri litafutwa ikiwa mtuhumiwa atathibitisha kuwa hakujua kuwa mtu aliyefanya nae uzinzi alikuwa ameoa/kuolewa 🙅🏽.


✍🏽 #SheriaYaNdoa #JungulaSheriaTanzania

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni