Ticker

6/recent/ticker-posts

Ndoa Inaweza Kubadilishwa Aina kwa Mujibu wa Sheria ya Ndoa ya Tanzania.



Ndoa Inaweza Kubadilishwa Aina kwa Mujibu wa Sheria ya Ndoa ya Tanzania.

Kwa mujibu wa Kifungu cha 11 cha Sheria ya Ndoa, ndoa inayofungwa Tanzania inaweza kubadilishwa aina yake kama ifuatavyo:

🔄 Kutoka ndoa ya mke mmoja kwenda kwenye ndoa ya wake wengi.

🔄 Kutoka ndoa ya wake wengi kwenda kwenye ndoa ya mke mmoja— lakini mume awe na mke mmoja tu kwa wakati huo.

📜 Masharti ya mabadiliko haya:

Mabadiliko lazima yafanyike kwa tamko la maandishi linalotolewa kwa hiari na kwa pamoja na wanandoa wote wawili.

Tamko hilo lifanywe mbele ya jaji, hakimu mkazi au hakimu wa wilaya, lisainiwe na wahusika wote pamoja na hakimu au jaji na nakala kupelekwa kwa Msajili Mkuu wa Ndoa.

❌ Masharti mengineyo:

Ndoa ya Kikristo iliyofungwa kanisani haiwezi kubadilishwa kuwa ya wake wengi kwa muda wote ambao wanandoa wote wawili bado ni waumini wa dini ya Kikristo.

#SheriaYaNdoa #JunguLaSheria

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni