⏳ Muda wa Uhai wa Ndoa Kisheria.
Kwa mujibu wa Kifungu cha 12 cha Sheria ya Ndoa, ndoa yoyote — iwe imefungwa Tanzania Bara au nje ya nchi — huendelea kuwepo kisheria hadi pale itakapovunjwa kwa moja ya njia zifuatazo:
⚰️ (a) Kwa kifo cha mmoja wa wanandoa;
📜 (b) Kwa amri ya mahakama inayotangaza kuwa mmoja wa wanandoa anahesabiwa kuwa amekufa;
❌ (c) Kwa amri ya kutengua ndoa;
💔 (d) Kwa amri ya talaka ya kisheria;
🌍 (e) Kwa talaka isiyopitia mahakamani iliyotolewa nje ya Tanzania lakini inakubalika na kutambuliwa kisheria hapa nchini.
#SheriaYaNdoa #JunguLaSheria
⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?
Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.
✅ Utakachopata
✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria
✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja
✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua
✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako
✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote
📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri
Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.
💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu
📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo
✅ Airtel Money LIPA: 13970429
✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500
✅ M-Pesa Wakala: 826910
✅ Selcom Lipa: 61122934
✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089
Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa
📩 Baada ya Kufanya Malipo
Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.
💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO+255 628 729 934

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿