Ticker

6/recent/ticker-posts

Maana ya Ndoa Kisheria.



💍 Maana ya Ndoa Kisheria 🇹🇿

Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ndoa, ndoa ni muungano wa hiari kati ya mwanaume na mwanamke, uliokusudiwa kudumu kwa maisha yao yote ya pamoja.

Na aina za ndoa ni;-

🔹 Ndoa ya mke mmoja, ambayo ni kati ya mwanaume mmoja na mwanamke mmoja kwa kujitenga na wengine wote.

🔹 Ndoa ya wake wengi, ni ndoa ambayo mume anaweza kuoa mke mwingine au wake wengine wakati ndoa bado inaendelea.

#SheriaYaNdoa #JunguLaSheria #HakiZaNdoa #MaishaYaNdoa #Tanzania🇹🇿

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni