⚖️ KUKASHIFU IMANI YA DINI NI KOSA LA JINAI 🇹🇿
Kwa mujibu wa Kifungu cha 129 cha Kanuni ya Adhabu [SURA YA 16 R.E. 2022], ni kosa la jinai kutusi, kusema maneno, kutoa sauti, au kufanya ishara kwa lengo la kuudhi hisia za mtu kuhusu dini yake.
🚫 Vitendo vinavyoweza kuwa kosa:
❌ Kutamka maneno yanayoudhi hisia za kidini za mtu mwingine.
❌ Kutoa ishara au sauti yenye dhihaka kwa imani ya dini ya mtu mwingine.
❌ Kuweka kitu chochote kinachodhalilisha dini katika mazingira anayoyaona mtu mwenye dini hiyo.
⚠️ Adhabu:
Mtu anayepatikana na hatia anaweza kutozwa faini ya sio chini ya Tsh 3,000,000 au kifungo cha sio chini ya mwaka mmoja, au vyote kwa pamoja.
🔹 Heshimu imani za wengine ili kuepuka mgogoro wa kisheria!
#SheriaNaHaki ⚖️ #Tanzania 🇹🇿 #UhuruWaDini #HeshimaNaAmani
⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?
Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.
✅ Utakachopata
✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria
✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja
✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua
✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako
✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote
📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri
Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.
💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu
📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo
✅ Airtel Money LIPA: 13970429
✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500
✅ M-Pesa Wakala: 826910
✅ Selcom Lipa: 61122934
✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089
Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa
📩 Baada ya Kufanya Malipo
Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.
💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO+255 628 729 934

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿