⚖️ NI KOSA LA JINAI KUPIGA PICHA MIILI YA MAREHEMU BILA RUHUSA MAALUMU 🇹🇿
Kwa mujibu wa Kifungu cha 162 cha Kanuni ya Adhabu [SURA YA 16 R.E. 2022], ni kosa la jinai kupiga au kusambaza picha, video au taswira za miili ya marehemu, waathiriwa wa uhalifu au matukio ya kutisha bila idhini.
🚫 Ni marufuku:
❌ Kupiga picha au video za miili ya marehemu au waathiriwa wa uhalifu.
❌ Kusambaza picha hizo kupitia mitandao ya kijamii au njia nyingine yoyote bila ruhusa.
✅ Inaruhusiwa kupiga picha au video kwa sababu zifuatazo tu:
✔️ Uchunguzi wa kihalifu.
✔️ Shughuli za mazishi kwa miili ya marehemu.
✔️ Sababu nyingine zilizoidhinishwa na polisi au mamlaka husika.
⚠️ Adhabu:
Mtu atakayekiuka kifungu hiki anaweza kutozwa faini ya sio chini ya Tsh 1,000,000 au kifungo cha sio chini ya mwaka mmoja, au vyote kwa pamoja.
🔹 Tafakari kabla ya kupiga na kutuma picha za merehemu mitandaoni!
#SheriaNaHaki ⚖️ #Tanzania 🇹🇿 #UsalamaMtandaoni #HakiZaFaragha
⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?
Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.
✅ Utakachopata
✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria
✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja
✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua
✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako
✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote
📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri
Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.
💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu
📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo
✅ Airtel Money LIPA: 13970429
✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500
✅ M-Pesa Wakala: 826910
✅ Selcom Lipa: 61122934
✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089
Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa
📩 Baada ya Kufanya Malipo
Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.
💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO+255 628 729 934

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿