Ticker

6/recent/ticker-posts

Kuvuruga mkusanyiko wa ibada ni kosa la jinai.



⚖️ KUVURUGA MKUSANYIKO WA IBADA NI KOSA LA JINAI🇹🇿

Kwa mujibu wa Kifungu cha 126 cha Kanuni ya Adhabu [SURA YA 16 R.E. 2022], ni kosa la jinai kuvuruga au kusababisha usumbufu katika ibada au sherehe za kidini zinazofanyika kihalali.

🚫 Vitendo vinavyoweza kuwa kosa:

❌ Kupiga kelele au kufanya vurugu wakati wa ibada.

❌ Kuvuruga mkusanyiko wa waumini kwa makusudi.

❌ Kuingilia sherehe za kidini kwa nia ya kusababisha fujo au usumbufu.

⚠️ Adhabu:

Mtu atakayepatikana na hatia anaweza kutozwa faini ya sio chini ya Tsh 3,000,000 au kifungo cha mpaka miaka miwili, au vyote kwa pamoja.

🔹 Heshimu ibada za wengine ili kudumisha amani na mshikamano!

#SheriaNaHaki ⚖️ #Tanzania 🇹🇿 #UhuruWaDini #AmaniNaHeshima

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni