Kuteka nyara mtu, kwa lengo la kuua ni kosa la jinai lenye adhabu ya miaka 10 jela. Kosa hili pia kulingana na mazingira lilivyotendeka, linaweza kwenda pamoja na makosa kama jaribio la kuua, shambulio la kudhuru mwili n.k
Kifungu 248 cha sheria ya kanuni ya adhabu sura ya 16

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿