Mtu yeyote ambaye, akiwa muangalizi wa baa, hoteli, nyumba, duka, chumba au mahali pengine popote pa burudani kwa ajili ya kuuza au kutumia vinywaji vya aina yoyote, kwa kujua, anamruhusu au kuvumilia makahaba kukusanyika na kubaki katika eneo lake kwa ajili ya ukahaba, atakuwa na hatia na atawajibika kwa adhabu ya faini isiyozidi shilingi elfu hamsini au, kwa kosa la pili au la baadae, faini isiyozidi shilingi laki tano.
Kifungu 176A kanuni ya adhabu sura ya 16.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿