Kwa mujibu wa kifungu cha 18(1)(a)(iii) cha Sheria ya mahakama za mahakimu, shauri lolote la madai ambalo limezaliwa kutokana na mkataba, na lenye thamani inayozidi milioni 30 linapaswa kupelekwa mahakama ya wilaya au mahakama ya hakimu mkazi kama dai dogo.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿