Ticker

6/recent/ticker-posts

Shauri la madai lililozaliwa kutokana na mkataba na lenye thamani ya zaidi ya milioni 30 kupelekwa kama dai dogo.



Kwa mujibu wa kifungu cha 18(1)(a)(iii) cha Sheria ya mahakama za mahakimu, shauri lolote la madai ambalo limezaliwa kutokana na mkataba, na lenye thamani inayozidi milioni 30 linapaswa kupelekwa mahakama ya wilaya au mahakama ya hakimu mkazi kama dai dogo.

Chapisha Maoni

0 Maoni