Kwa MUJIBU wa sheria ya ndoa kifungu 67, wanandoa wanaweza kukubaliana kwa maandishi, kuishi mbali au kutengana kwa muda fulani bila ndoa yao kuvunjika na kwa makubaliano ya kuendelea kuhudumia watoto kama wapo. Pia, makubaliano haya hayavunji ndoa kwa namna yoyote ile na ndoa itaendelea kuwa halali kwa wakati wote huo.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿