Kwa MUJIBU wa sheria ya mwenendo wa jinai sura namba 20 kifungu cha 156, endapo mdhamini katika dhamana anafariki kabla ya dhamana husika kufutwa au kufikia ukomo, basi mali na wajibu wa mdhamini huyo katika dhamana hiyo unakoma na upande uliopoteza mdhamini utawajibika kutafuta mdhamini mwingine.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿