Ticker

6/recent/ticker-posts

Mwanasheria mkuu wa serikali ni nani?



IBARA ya 59 ya KATIBA inasema, Kutakuwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye atakuwa mshauri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo ya sheria na, kwa ajili hiyo, atawajibika kutoa ushauri kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano kuhusu mambo yote ya kisheria, na kutekeleza shughuli nyinginezo zozote zenye asili ya au kuhusiana na sheria zitakazopelekwa kwake au atakazoagizwa na Rais kuzitekeleza, na pia kutekeleza kazi au shughuli nyinginezo zilizokabidhiwa kwake na Katiba au na sheria yoyote.

Chapisha Maoni

0 Maoni