Kwa MUJIBU wa sheria ya Elimu kifungu cha 60A(1), (2) na (3) ni kosa kwa mtu yoyote kuoa mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari, au mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari kuoa mtu mwingine. Au kumpa mimba mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari. Adhabu ya kosa hilo ni kifungo jela miaka 30.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿