Kwa MUJIBU wa sheria ya kazi kifungu cha 33(5), mwajiri haruhusiwi kumpa kazi ngumu zinazoweza kumwathiri mama mjamzito. Kazi atakazopewa mjamzito kipindi chote cha ujauzito zizingatie afya ya mama na mtoto.
Kwa MUJIBU wa sheria ya kazi kifungu cha 33(5), mwajiri haruhusiwi kumpa kazi ngumu zinazoweza kumwathiri mama mjamzito. Kazi atakazopewa mjamzito kipindi chote cha ujauzito zizingatie afya ya mama na mtoto.
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿