Ticker

6/recent/ticker-posts

Ndoa ni nini?



NDOA ni muungano wa kudumu kati ya mtu MKE na mtu MUME ambapo muungano huo hutarajiwa kuwa wa kudumu kati ya wawili hao katika kipindi chote cha maisha yao.


Ndoa yaweza kuwa ya MKE mmoja au WAKE wengi.


Ndoa ya MKE mmoja ni kati ya MKE mmoja na MUME mmoja pekee.


Ndoa ya wake wengi ni kati ya WAKE kadhaa na MUME mmoja pekee.


NDOA ya MKE mmoja inapofungwa, mwanandoa mmoja kati yao haruhusiwi kufunga ndoa nyingine endapo ndoa ya awali bado ipo hai.


#sherianatehama

#sheriayandoa

Chapisha Maoni

0 Maoni