MADA: SHERIA YA MIKATABA.
MKATABA ni makubaliano ya kisheria kati ya watu binafsi, au kati ya taasisi au mashirika au watu dhidi ya taasisi. Makubaliano hayo hutoa wajibu na majukumu kwa pande zote mbili ambapo majukumu hayo ni lazima yatekelezwe.
#sherianatehama #mikataba

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿