Mtoto ana HAKI ya kupewa JINA, URAIA na haki ya kuwafahamu wazazi wake HALISI pamoja na ndugu zake.
Sheria ya mtoto, sura ya 13 ya mwaka 2019 KIFUNGU cha 6(1)(2) na (3).
Kila mtoto anayo HAKI ya kupewa JINA, URAIA, haki ya kuwafahamu wazazi na haki ya kuishi na wazazi wake bila kuzuiwa au kunyimwa haki hizo na mtu yeyote.
KILA mzazi au mlezi ana wajibu wa kisheria wa kumsajili mtoto wake kwa msajili wa vizazi na vifo.
Jungu la sheria Tanzania
#sherianatehama

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿