Kwa mujibu wa kifungu cha 12 cha sheria ya ndoa, NDOA INAWEZA KUKOMA KUTOKANA NA SABABU ZIFUATAZO;
1. Kifo cha mwanandoa mmoja.
2. Kwa amri ya mahakama inayochukulia kifo cha mwanandoa kutokana na kutokuonekana kwa kipindi kirefu.
3. Amri ya mahakama kuwa ndoa ni batili.
4. Talaka.
5. Talaka iliyotolewa na mahakama nje ya nchi ya Tanzania inayotambulika Tanzania.
Jungu la sheria Tanzania ✔️

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿