NDOA HAIONDOI HAKI YA KUMILIKI MALI KWA MWANAMKE.
KIFUNGU cha 56 cha sheria ya ndoa ya mwaka 1971 na marekebisho yake kinasema;
HATA baada ya ndoa, MWANAMKE anaendelea kuwa na HAKI ya kutafuta, kumiliki na kuuza au kugawa MALI zinazohamishika au zisizohamishika, haki ya kuingia katika mikataba, haki ya kushtaki na kushtakiwa yeye kama mtu binafsi.
Jungu la sheria Tanzania ✔️
#sherianatehama

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿