Ticker

6/recent/ticker-posts

MKE au MUME ana haki ya kumshtaki na kumdai fidia mtu ambaye anamshawishi mwenza wake kwa lengo la kuvunja ndoa yao.



MKE au MUME ana haki ya kumshtaki na kumdai fidia mtu ambaye anamshawishi mwenza wake kwa lengo la kuvunja ndoa yao.


KIFUNGU cha 73 cha sheria ya ndoa ya mwaka 1971 na marekebisho yake kinasema;


MUME au MKE ana haki ya kumshtaki mtu mwingine yeyote ambaye anamshawishi/kumtongoza mwanandoa wake kwa lengo la kuvunja ndoa yao na kuwatenganisha.


Shauri la aina hii litakataliwa na kufutwa na mahakama kama itabainika wazi kuwa tabia za mwanandoa anayedai fidia zilimpelekea mwenza wake kujihusisha kimapenzi na MTU mwingine.


Jungu la sheria Tanzania ✔️

#sherianatehama

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni