Wakati huu wa vita vya RUSSIA na UKRAINE maneno ya "uhalifu wa kivita" na "makosa dhidi ya ubinadamu" yamekuwa yakitumika sana, je nini maana za makosa haya KISHERIA.
Kwa mujibu wa IBARA ya 8 ya "ROME STATUTE OF THE INTERNATIONAL CRIMINAL COURT", mkataba unaoanzisha mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa jinai, uhalifu wa kivita ni vitendo vyote vinavyohusisha;
1. Mauaji ya raia wasio na hatia
2. Uharibifu wa mali za kijamii kama shule, hospitali, na maeneo ya ibada.
3. Kulazimisha mateka wa kivita kupigana dhidi ya majeshi yao ya asili.
4. Kusambaza silaha kinyume cha sheria.
5. Kujeruhi au kuumiza watu ambao wamelindwa na maktaba wa Geneva.
MAKOSA DHIDI YA UBINADAMU.
Kwa mujibu wa IBARA YA 7 ya mkataba tajwa hapo juu, makosa dhidi ya ubinadamu ni makosa yote yanayofanywa dhidi ya au kwa kulenga kwa makusudi kikundi fulani cha watu katika jamii.
Makosa yanayolenga kikundi fulani cha watu yanaweza kuwa ni kuua, kulemaza au kujeruhi, kufunga gerezani, au kuwahamisha kwa nguvu watu wa kundi fulani (kabila, dini, au rangi za ngozi) kwenda sehemu nyingine bila ridhaa yao.
⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?
Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.
✅ Utakachopata
✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria
✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja
✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua
✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako
✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote
📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri
Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.
💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu
📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo
✅ Airtel Money LIPA: 13970429
✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500
✅ M-Pesa Wakala: 826910
✅ Selcom Lipa: 61122934
✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089
Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa
📩 Baada ya Kufanya Malipo
Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.
💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO+255 628 729 934
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿