Ticker

6/recent/ticker-posts

NINI MAANA YA "𝗔𝗡𝗔 𝗞𝗘𝗦𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗜𝗕𝗨".

 

Hii ni hatua tu katika kesi yoyote ya Jinai na sio uamuzi wa mwisho katika kesi. ( Hatua hii humaliza kesi endapo washtakiwa wakikutwa hawana kesi ya kujibu).

Kwa mujibu wa kifungu cha 293 (2) cha SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI SURA YA 20.

Endapo ushahidi wa upande wa mashtaka umekamilika na mahakama inaona upande wa mashtaka wametoa ushahidi unaoashiria kuwepo jinai, mahakama itatamka kuwa washtakiwa wana "kesi ya kujibu".

Baada ya hapo washtakiwa watafahamishwa haki yao ya kuanza utetezi, na mawakili au washtakiwa wenyewe watataja idadi ya mashahidi watakaokuwa nao na mahakama itapanga siku ya kuanza kusikiliza utetezi.

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni