Ticker

6/recent/ticker-posts

🚫 Kuruhusu makahaba kujikusanya katika baa, hoteli au maeneo ya biashara yako ni kosa la jinai.



🚫 Kuruhusu makahaba kujikusanya katika baa, hoteli au maeneo ya biashara yako ni kosa la jinai.

📜 Kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu – Sura ya 16 Kifungu cha 176A, mtu yeyote ambaye:

• 🏨 Ni mmiliki au msimamizi wa baa, hoteli, nyumba au sehemu ya biashara

• ⚠️ Anajua na anaruhusu makahaba kujikusanya na kubaki katika eneo lake kwa ajili ya ukahaba

👉 Atakuwa ametenda kosa la jinai.

💰 Adhabu: 

• Faini isiyozidi TSh 50,000 kwa kosa la kwanza

• Faini isiyozidi TSh 500,000 kwa kosa la pili au zaidi

🛡️ Sheria hii inalenga: 

• Kudhibiti matumizi mabaya ya maeneo ya biashara

• Kulinda maadili na utaratibu wa jamii

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni