Ticker

6/recent/ticker-posts

🚫 Kuomba omba au kumtuma mtoto kuomba omba katika maeneo ya umma ni kosa la jinai.



🚫 Kuomba omba au kumtuma mtoto kuomba omba katika maeneo ya umma ni kosa la jinai.

📜 Kwa mujibu wa Kanuni ya Adhabu – Kifungu cha 176(b), mtu ambaye:

• 💰 Anazurura au anasimama mahali pa umma kwa lengo la kuomba sadaka.

• 💰 Anajaribu kukusanya msaada au sadaka kutoka kwa watu barabarani

• 👶 Anamshawishi au kumtuma mtoto kuomba omba

⚠️ Kitendo hicho ni kosa la jinai chini ya sheria za Tanzania na adhabu yake ni faini isiyozidi laki moja au kifungo kisichozidi miezi mitatu jela au vyote kwa pamoja.


     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni