Ticker

6/recent/ticker-posts

Rais anaweza kuchukua ardhi yoyote ile inayohitajika kwa matumizi ya umma



💼 Kifungu cha 3 & 4 – Sheria ya Utwaaji Ardhi.

📌 Rais anaweza kuchukua ardhi yoyote ile inayohitajika kwa matumizi ya umma au miradi ya taifa kama miji mipya, viwanda, kilimo, huduma za jamii, viwanja vya ndege, bandari au uchimbaji madini.

📌 Kabla ya ardhi binafsi kutwaliwa, ni lazima waathirika walipwe fidia stahiki ndani ya kipindi cha miezi sita.

⚠️ Miradi yote hii ni kwa faida ya wote na inalenga maendeleo ya taifa.

#Tanzania #SheriaYaArdhi #Maendeleo #PublicPurpose #LandAcquisition

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni