Ticker

6/recent/ticker-posts

Kula njama kudhoofisha haki na kuingilia mashahidi, jela miaka 5.



Kula Njama Kudhoofisha Haki na Kuingilia Mashahidi ⚖️

Kwa mujibu wa Kifungu cha 110 cha Kanuni ya Adhabu, mtu yeyote anayeshirikiana na mwingine kwa lengo la kuharibu mwenendo wa haki au kuingilia mashahidi, anakuwa ametenda kosa la jinai.

🚫 Vitendo vinavyohesabika kama kosa ni pamoja na:

🔹Kula njama na mtu mwingine kumtuhumu mtu kwa kosa ambalo si la kweli.

🔹 Kufanya au kupanga jambo lolote kwa nia ya kuzuia, kuchelewesha au kupotosha mwenendo wa haki.

🔹 Kumshawishi au kumzuia shahidi asiende Mahakamani au asitoe ushahidi kama alivyoitw­a kisheria, au hata kujaribu kufanya hivyo.

⚖️ Adhabu:

Kifungo cha hadi miaka mitano jela.

#SheriaZaTanzania #Ushahidi #Haki #JunguLaSheria ⚖️

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni