Ticker

6/recent/ticker-posts

Wizi wa kuaminika ni kosa la jinai.



WIZI WA KUAMINIKA NI KOSA LA JINAI 🇹🇿

Kwa mujibu wa Kifungu cha 273 cha Kanuni ya Adhabu [SURA YA 16 R.E. 2022], mtu yeyote anayepokea mali kwa misingi ya uaminifu kama wakala, msimamizi, au mtu mwenye mamlaka ya kuihifadhi au kuitumia kwa manufaa ya mtu mwingine, na kisha akaiba mali hiyo, anafanya kosa la jinai.

🚫 Vitendo vinavyoweza kuwa kosa:

❌ Wakala au mtu mwenye power of attorney akitumia mali kinyume na makubaliano.

❌ Mtu anayepewa mali kwa usimamizi halafu akaiba au kuitumia kwa manufaa yake binafsi.

❌ Kupokea pesa au mali kwa niaba ya mtu mwingine na kuzitumia isivyo halali.

⚠️ Adhabu:

Mtu atakayepatikana na hatia anaweza kufungwa hadi miaka 10.

🔹 Uaminifu ni msingi wa haki! Usitumie vibaya mali ya mtu mwingine.

#SheriaNaHaki ⚖️ #Tanzania 🇹🇿 #Uwajibikaji #AminiwaUsisaliti

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni