Ticker

6/recent/ticker-posts

Makosa kuhusu usajili wa wapiga kura.



⚖️ MAKOSA KUHUSU USAJILI WA WAPIGA KURA 🇹🇿

Kwa mujibu wa Kifungu cha 114 cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Sura no. 1 of 2024, mtu yeyote anayehusika katika udanganyifu wa usajili wa wapiga kura anafanya kosa la jinai.

🚫 Makosa yanayohusiana na usajili wa wapiga kura:

❌ Kutoa taarifa za uongo ili kujisajili au kumsajili mtu mwingine.

❌ Kujisajili mara mbili katika vituo tofauti bila kufuata taratibu.

❌ Kuomba upya kadi ya mpiga kura kwa njia ya udanganyifu.

❌ Kununua, kuuza, kuiba au kuharibu kadi ya mpiga kura kwa lengo la kuzuia mtu kupiga kura au kuongeza kura kwa mgombea fulani.

❌ Kumzuia au kumkwamisha afisa wa uchaguzi katika kutekeleza majukumu yake.

⚠️ Adhabu:

Mtu yeyote atakayepatikana na hatia anaweza kutozwa faini kati ya TZS 100,000 hadi 300,000 au kifungo cha miezi 6 hadi miaka 2, au vyote kwa pamoja.

🔹 Kuhakikisha uchaguzi huru na wa haki ni wajibu wa kila mmoja. Epuka vitendo vya udanganyifu!

#SheriaNaHaki ⚖️ #Tanzania 🇹🇿 #UchaguziHuru

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni