Ticker

6/recent/ticker-posts

Kujaribu kujiua na kinga yake kisheria.

 


Kwa mujibu wa kifungu cha 217 cha kanuni ya adhabu sura ya 16, kujaribu kujiua ni kosa la jinai. Kosa hilo linaweza kuhukumiwa kwa adhabu isiyozidi miaka 5 jela kama inavyoelekezwa na kifungu cha 35 kinachoeleza adhabu ya jumla kwa makosa ambayo hayajapewa adhabu ya moja kwa moja.

Lakini sheria hiyohiyo inaweka kinga katika kifungu cha 13 na inatoa msamaha kwa watu wanaofanya makosa wakiwa katika hali ya ugonjwa unaoathiri akili zao na kufanya wasielewe wanachofanya.

Hivyo basi, endapo mtu amejaribu kujiua akiwa na akili timamu na ikathibitika hivyo, atahukumiwa kwa adhabu isiyozidi miaka 5, lakini kama amejaribu kujiua akiwa na hali ya ugonjwa unaoathiri akili yake na kufanya kosa bila kuelewa, hatakuwa na kosa kisheria kwa kuwa sheria inampa kinga.

Endapo mtu huyo amefikishwa mahakamani, na ikabainika alifanya kosa akiwa katika hali ya ugonjwa, Basi mtu huyo hana hatia, mahakama inaweza kuamua mtu huyo kupelekwa katika kituo cha uangalizi wa watu wenye changamoto ya afya ya akili kwa mujibu wa kifungu cha 219(2)(b) Cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sura namba 20.

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni