Kwa MUJIBU wa sheria ya mwenendo wa makosa ya JINAI Sura 20 kifungu 228, kukiri kosa uliloshtakiwa nalo ni kuipa mahakama ruhusa ya kupitisha hukumu moja moja dhidi ya kosa ulilofanya. Lakini kifungu hiki kinategemea maamuzi mbalimbali ya mahakama ambayo yanataka mtuhumiwa baada ya kukiri kosa, asomewe maelezo yote kuhusu kesi yake na akubali kila sehemu ya maelezo hayo ndipo mahakama itoe hukumu.
#sherianatehama
#sheria

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿