Ticker

6/recent/ticker-posts

Ni KOSA LA JINAI KUPIGA PICHA MAITI



Ni KOSA LA JINAI KUPIGA PICHA MAITI. Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, ni kosa la jinai kupiga picha au kusambaza picha zinazoonyesha maiti au miili ya watu waliofariki katika AJALI au wahanga wa tukio lolote ambao wamejeruhiwa vibaya. Adhabu ya kosa hili ni kifungo kisichopungua mwaka mmoja jela au adhabu ya faini isiyopungua milioni moja.


Haitakuwa KOSA endapo picha za maiti zimepigwa kwa lengo la kufanya uchunguzi wa kijinai, picha za nyakati za mazishi kwa lengo la kumbukumbu ya familia, au kama picha zimepigwa kwa kibali maalumu.


#sherianatehama 

#sheria

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni