Ticker

6/recent/ticker-posts

Uhuru wa kushiriki katika shughuli za umma.



UHURU WA KUSHIRIKI KATIKA SHUGHULI ZA UMMA.


IBARA YA 21(1) na (2) za katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake.


Bila ya kuathiri masharti ya katiba na ya sheria zingine za nchi kuhusiana na masharti ya kuchagua na kuchaguliwa, au kuteua na kuteuliwa kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, kila raia wa Jamhuri ya muungano anayo haki ya kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, ama moja kwa moja au kwa kupitia wawakilishi waliochaguliwa na wananchi kwa hiari yao, kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria.

 

Kila raia anayo haki na Uhuru wa kushiriki kwa ukamilifu katika kufikia uamuzi juu ya mambo yanayomhusu yeye, maisha yake au yanayolihusu Taifa.



Jungu la sheria Tanzania ✔️

Chapisha Maoni

0 Maoni