IBARA YA 19 YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kila mtu anastahili kuwa na Uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi
katika mambo ya dini, pamoja na Uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
Bila ya kuathiri sheria zinazohusika na Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za Mamlaka ya nchi.
Jungu la sheria Tanzania ✔️

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿