Rafiki yangu amekamatwa na kuwekwa mahabusu wakati akisubiri kusikilizwa kwa kesi yake ili aweze kuomba dhamana mbele ya mahakama, je! Atafanyiwa kama wafungwa wengine awapo mahabusu ukizingatia bado hajahukumiwa?.
JIBU NI HAPANA.
Sheria ya magereza katika kifungu cha 76 inasema, mahabusu watatenganishwa na wafungwa kadri vile itakavyofaa/kuwezekana.
Kifungu cha 77 kinaongeza kwa kusema, mahabusu ambaye si mfungwa, atapata nafasi ya kula vyakula na kunywa vinywaji atakavyopendelea na anaruhusiwa kununua vitu hivyo na mahitaji mengine kama nguo na mashuka mahala popote ndani au nje ya gereza kadri itakavyowezekana.
ANGALIZO : Sheria inazuia kabisa mahabusu kugawa au kuuza vyakula, vinywaji au vifaa ambavyo hawaruhusiwi kuwa navyo wafungwa.
#maswalinamajibu
Jungu la sheria Tanzania.
⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?
Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.
✅ Utakachopata
✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria
✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja
✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua
✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako
✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote
📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri
Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.
💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu
📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo
✅ Airtel Money LIPA: 13970429
✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500
✅ M-Pesa Wakala: 826910
✅ Selcom Lipa: 61122934
✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089
Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa
📩 Baada ya Kufanya Malipo
Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.
💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO+255 628 729 934

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿