Ticker

6/recent/ticker-posts

UKIMJERUHI MTU 𝗔𝗞𝗔𝗙𝗔𝗥𝗜𝗞𝗜 NDANI YA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA NA SIKU MOJA "UMEUA".

Kifungu cha 203, 205(1) na (2) cha kanuni ya adhabu sura ya 16.

Kwa mujibu wa vifungu hivyo hapo juu, kusababisha kifo si lazima kifo kitokee ndani ya siku ya tukio lililosababisha kifo cha mtu ili mtuhumiwa kushtakiwa kwa mauaji.

Ukimjeruhi MTU, na AKAFARIKI ndani ya siku uliyomjeruhi au ndani ya kipindi cha mwaka mmoja na siku moja, na sababu za kifo chake zikawa ni majeraha aliyosababishiwa au tendo lolote alilofanyiwa kinyume cha sheria, basi mtenda kosa atahesabiwa kuwa ameua.

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni