NDOA ILIYOVUNJIKA NA HAIREKEBISHIKI.
SHERIA YA NDOA ILIYOFANYIWA MAREKEBISHO MWAKA 2019, KIFUNGU CHA 171(2).
Kwa mujibu wa sheria ya ndoa, ili ndoa ivunjwe na mahakama, ni lazima ushahidi utolewa unaoonyesha kwamba ndoa imevunjika na haiwezi kurekebishika.
Zifuatazo ni sababu zinazoonyesha kwamba ndoa imevunjika na haiwezi kurekebishika Tena.
(i) Kama mmoja wa wanandoa amemkimbia mwenziwe kwa muda usiopungua miaka mitatu na hajulikani alipo.
(ii) Ukatili.
-Kipigo;
-Malalamiko yasiyo na msingi;
-Mume anapolewa sana kila siku na kumbughuzi mkewe;
-Mume au mke anapomwambukiza mwenziwe maradhi ya zinaa.
(iii) Mmoja kati yao kufungwa maisha au kipindi kirefu kisichopungua miaka 5 au kuwekwa kizuizini.
(iv) Magonjwa ya uhanithi.
(v)Kufanya mapenzi kinyume cha maumbile/kulawiti
(vi) Ugoni.
(vii) Uasi/utoro.
⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?
Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.
✅ Utakachopata
✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria
✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja
✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua
✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako
✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote
📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri
Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.
💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu
📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo
✅ Airtel Money LIPA: 13970429
✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500
✅ M-Pesa Wakala: 826910
✅ Selcom Lipa: 61122934
✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089
Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa
📩 Baada ya Kufanya Malipo
Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.
💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO+255 628 729 934
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿