KUJAMIIANA NA MNYAMA= KIFUNGO CHA MAISHA/MIAKA "30".
KIFUNGU CHA 154(b) CHA KANUNI YA ADHABU SURA YA 16.
Kinasema, mtu yeyote ambaye- anamuingilia mnyama kimwili, atakuwa ametenda kosa, na atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha na wakati mwingine kifungo kisichopungua miaka thelathini.
IMEANDIKWA NA;
Mwanasheria
Johnson Yesaya Mgelwa (@yesayajm_ )
Wa Jungu la sheria Tanzania.
0758218269/0628729934
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿