Ticker

6/recent/ticker-posts

Mahusiano Yanayokatazwa kwa Mujibu wa Sheria ya Ndoa.



Mahusiano Yanayokatazwa kwa Mujibu wa Sheria ya Ndoa.

Sheria ya Ndoa ya Tanzania inakataza watu walio na uhusiano wa karibu wa damu au ndoa kufunga ndoa. Hii inalenga kulinda maadili ya familia na jamii. Kwa mujibu wa Kifungu cha 14, watu walioko katika uhusiano ufuatao hawaruhusiwi kuoana:

👨‍👩‍👧‍👦 Uhusiano wa damu:

Babu/bibi, mzazi, mtoto, mjukuu, dada au kaka

Shangazi/mjomba, binamu wa karibu

Baba/mama mkubwa au mdogo

💍 Uhusiano wa kupitia ndoa:

Huwezi kuoa au kuolewa na mzazi, mtoto au mjukuu wa mke/mume wako wa sasa au wa zamani.

Huwezi kuoa au kuolewa na aliyekuwa mume au mke wa babu, bibi, mtoto au mjukuu wako.

👶 Uhusiano wa uasili

Huwezi kufunga ndoa na mtu uliyemlea au aliyekulea kwa njia ya uasili.

🧬 Uhusiano wa nusu damu unazingatiwa sawa na uhusiano wa damu kamili. Haijalishi kama mtu alizaliwa ndani au nje ya ndoa.

🔒 Watu walioko katika mahusiano haya huitwa “wako ndani ya uhusiano unaokatazwa” na hawaruhusiwi kuoana kisheria.

#sheriayandoa

     ⚖️ Tatizo Lako la Kisheria Linahitaji Majibu Sahihi?

Elimu ya sheria inayotolewa kwenye makala hii ni ya jumla. Ikiwa unahitaji ufafanuzi kuhusu hali yako binafsi, unaweza kuongea moja kwa moja na Mwanasheria na kupata ushauri unaoendana na mazingira yako.

✅ Utakachopata

✔️ Uchambuzi wa suala lako la kisheria

✔️ Majibu ya maswali yako moja kwa moja

✔️ Mwongozo wa hatua za kuchukua

✔️ Ushauri wa kitaalamu unaozingatia mazingira yako

✔️ Usiri wa kitaalamu katika mawasiliano yote

📚 Maeneo Tunayotoa Ushauri

Ardhi • Mirathi • Ndoa na Talaka • Ajira • Mikataba • Madeni • Biashara • Mashauri ya Madai • Mashauri ya Jinai na masuala mengine ya kisheria.

💰 Ada ya Ushauri: TSh 30,000 Tu

📲 Fanya Malipo Kupitia Mojawapo ya Njia Zifuatazo

✅ Airtel Money LIPA: 13970429

✅ Yas/Tigo LIPA: 18401500

✅ M-Pesa Wakala: 826910

✅ Selcom Lipa: 61122934

✅ CRDB Lipa TANQR: 11692089


Jina la Mpokeaji:
Johnson Yesaya Mgelwa

📩 Baada ya Kufanya Malipo

Tuma ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo yako kupitia WhatsApp au SMS. Utapigiwa simu ndani ya dakika 10 kwa ushauri wa kisheria.

💬 TUMA UTHIBITISHO WA MALIPO

+255 628 729 934

Usifanye Maamuzi ya Kisheria Bila Ushauri wa Kitaalamu.

Chapisha Maoni

0 Maoni